Skip to content

HABARI MSETO

Kwa Habari za Haraka na Uhakika kutoka vyanzo vyenye kuaminika.

  • facebook
  • instagram
  • youtube
  • HABARI KUU
  • SIASA
  • MICHEZO NA BURUDANI
  • BIASHARA
  • TEKNOLOJIA
  • AFYA
  • ELIMU
  • KIMATAIFA
  • WASILIANA NASI
Subscribe

Category: Uncategorized

  • Home
  • Uncategorized
Wallace Karia ajiuzulu Urais CECAFA, kisa XCOM CAF
  • Uncategorized

Wallace Karia ajiuzulu Urais CECAFA, kisa XCOM CAF

  • Francis Dande
  • May 2, 2025
  • 0

RAIS wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia, amejiuzulu rasmi nafasi ya Urais wa Baraza la Vyama vya Soka kwa Nchi za Afrika Mashariki […]

ASHIRA GIRLS SEKONDARI: KUTOKA FOLENI ZA VYOO HADI DARASA LA KISASA
  • Uncategorized

ASHIRA GIRLS SEKONDARI: KUTOKA FOLENI ZA VYOO HADI DARASA LA KISASA

  • Francis Dande
  • April 18, 2025
  • 0

Moja ya Majengo ya zamani katika Shule ya Wasichana ya Ashira iliyopo wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro ,miongoni mwa shule Kongwe zilizofanyiwa maboresho ya miundombinu […]

LATRA yajivunia  kasi ya Utoaji Leseni Serikali  Awamu Sita, yatoa Leseni 108,658
  • Uncategorized

LATRA yajivunia  kasi ya Utoaji Leseni Serikali  Awamu Sita, yatoa Leseni 108,658

  • Francis Dande
  • April 16, 2025
  • 0

Hussein Ndubikile  Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imesema kuwa, katika kipindi cha miaka minne ya Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa […]

  • Uncategorized

Mfumo wa Digitali wa Usajili wa Wanahabari wa Bodi ya Ithibati kukamilika Aprili 2025

  • Francis Dande
  • April 1, 2025
  • 0
WANAWAKE WA WORLD VEGETABLE CENTER WAWALETEA ELIMU YA KILIMO WATOTO WA MATONYOKI
  • Uncategorized

WANAWAKE WA WORLD VEGETABLE CENTER WAWALETEA ELIMU YA KILIMO WATOTO WA MATONYOKI

  • Francis Dande
  • March 14, 2025
  • 0

Wanafunzi na Watoto wanaolelewa katika kituo cha kulea watoto wanaotoka kwenye mazingira hatarishi wakiwa katika eneo la bustani kwa ajili ya kupata elimu juu ya […]

MKURUGENZI MOSHI ATOKWA MACHOZI, CCM NA CHADEMA WAKIMPA ZAWADI
  • Habari
  • SIASA
  • Uncategorized

MKURUGENZI MOSHI ATOKWA MACHOZI, CCM NA CHADEMA WAKIMPA ZAWADI

  • Francis Dande
  • February 17, 2025
  • 0

Mkurugenzi wa Halmashauriya Manispaa ya Moshi Mwajuma NAsombe akizungumza wakati wa kikao cha mwisho cha Bajeti cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri . Mstahiki Meya […]

Simba yashindwa kurejea kileleni, ‘back pass’ ya Chasambi yaiponza
  • Uncategorized

Simba yashindwa kurejea kileleni, ‘back pass’ ya Chasambi yaiponza

  • Francis Dande
  • February 6, 2025
  • 0

JARIBIO la Wekundu wa Msimbazi Simba kurejea kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara, limekwaa kisiki baada ya dakika 90 za sare […]

TANZIA: Sheikh Abuu Idd afariki, Rais Samia amlilia
  • Uncategorized

TANZIA: Sheikh Abuu Idd afariki, Rais Samia amlilia

  • Francis Dande
  • January 30, 2025
  • 0

TANZIA: Sheikh Abuu Idd afariki, Rais Samia amlilia RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Samia Suluhu Hassan, ametuma salamu za pole kwa Mufti […]

  • Uncategorized

MAPINDUZI YA ZANZIBAR: KUMBUKUMBU TUKUFU

  • Francis Dande
  • January 13, 2025
  • 0

Miaka sitini na moja, leo tunakumbuka, Mapinduzi matakatifu, yenye historia adhimu, Unguja na Pemba, visiwa vya thamani, Walinyanyuka wananchi, kwa sauti ya ukombozi. Januari kumi […]

  • Uncategorized

RUVUMA MGUU SAWA UBORESHAJI WA DAFTARI, WANANCHI WAHIMIZWA KUJITOKEZA

  • Francis Dande
  • January 11, 2025
  • 0

MAAFISA Waandikishaji kutoka Halmashauri za Mkoa wa Ruvuma zinazotaraji kuanza Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Jumapili ijayo ya Januari 12 hadi 18 […]

Posts navigation

Older posts
Copyright © 2025 HABARI MSETO Theme: Updated News By Adore Themes.
Sera za faragha Sheria ya huduma Kuhusu sisi Wasiliana nasi

© 2024 HABARIMSETO. Designed by MWINYIMKUU.