Skip to content

HABARI MSETO

Kwa Habari za Haraka na Uhakika kutoka vyanzo vyenye kuaminika.

  • facebook
  • instagram
  • youtube
  • HABARI KUU
  • SIASA
  • MICHEZO NA BURUDANI
  • BIASHARA
  • TEKNOLOJIA
  • AFYA
  • ELIMU
  • KIMATAIFA
  • WASILIANA NASI
Subscribe

Category: TEKNOLOJIA

  • Home
  • TEKNOLOJIA
PURA yaokoa Bil. 340/- kupitia Uhakiki, Ukaguzi Mikataba ya Mgawanyo wa Mapato
  • Habari
  • TEKNOLOJIA

PURA yaokoa Bil. 340/- kupitia Uhakiki, Ukaguzi Mikataba ya Mgawanyo wa Mapato

  • Francis Dande
  • May 19, 2025
  • 0

NA MWANDISHI WETU MAMLAKA ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA), kupitia utaratibu wa Mikataba ya Mgawanyo wa Mapato (Production Sharing Agreements – PSA), […]

Dar yang’ara tuzo ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu
  • Habari
  • TEKNOLOJIA

Dar yang’ara tuzo ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu

  • Francis Dande
  • April 16, 2025
  • 0

Na Irene Mark WASHINDI 18 kati ya 40 walioingia kwenye 10 bora kila kipengele za Tuzo ya Mwalimu Nyerere ya uandishi bunifu, wametoka jijini Dar […]

Wataalam mradi wa SOFF wapokea, wapitisha bajeti 2025
  • Habari
  • TEKNOLOJIA

Wataalam mradi wa SOFF wapokea, wapitisha bajeti 2025

  • Francis Dande
  • April 11, 2025
  • 0

Na Mwandishi Wetu, Morogoro KAIMU Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Dk. Ladislaus Chang’a Kamati Tendaji ya Mradi wa Mfuko wa […]

Mhandisi Manala Mbumba: Hili la Bwawa la Nyerere Rais Samia apongezwe
  • Habari
  • TEKNOLOJIA

Mhandisi Manala Mbumba: Hili la Bwawa la Nyerere Rais Samia apongezwe

  • Francis Dande
  • April 11, 2025
  • 0

SHUKRANI zote kwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan baada ya kufanikiwa kutimiza kile alichokisema cha kukamilisha Mradi wa Bwawa la Kufua Umeme la Julius Nyerere(Julius […]

Wataalam wajadili namna salama ya kukabili hali ya hewa, mabadiliko ya Tabianchi
  • Habari
  • TEKNOLOJIA

Wataalam wajadili namna salama ya kukabili hali ya hewa, mabadiliko ya Tabianchi

  • Francis Dande
  • April 2, 2025
  • 0

Na Mwandishi Wetu, Arusha WATAALAM wabobezi katika sayansi ya Mabadiliko ya Hali ya Hewa na Tabianchi wamekutana jijini Arusha katika kongamano la siku moja kwa […]

Zaidi ya leseni 1,000 za madini zatolewa Kahama
  • Habari
  • TEKNOLOJIA

Zaidi ya leseni 1,000 za madini zatolewa Kahama

  • Francis Dande
  • March 20, 2025
  • 0

· Wachimbaji wahamasika kuachana na Zebaki · Waita wawekezaji kujenga mitambo ya kuchenjulia JUMLA ya leseni 1356 zimetolewa katika halmashauri tatu za Mkoa wa Kimadini […]

Zaidi ya leseni 4,000 za madini kutolewa Mbogwe
  • Habari
  • TEKNOLOJIA

Zaidi ya leseni 4,000 za madini kutolewa Mbogwe

  • Francis Dande
  • March 17, 2025
  • 0

ZAIDI ya leseni 4,000 zipo katika utaratibu wa kutolewa katika maeneo manne ya Mkoa wa Kimadini Mbogwe mkoani Geita, huku wazawa na wawekezaji kutoka nje […]

KAMATI YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YARIDHISHWA NA UWEKEZAJI DATA CENTRE
  • Habari
  • TEKNOLOJIA

KAMATI YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YARIDHISHWA NA UWEKEZAJI DATA CENTRE

  • Francis Dande
  • March 17, 2025
  • 0

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Slaa, akizungumza kuwakaribisha Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, mara baada ya kuwasili katika […]

UMEME WA JOTOARDHI KUUNGANISHWA KWENYE GRIDI YA TAIFA IFIKAPO 2030 – MRAMBA
  • Habari
  • TEKNOLOJIA

UMEME WA JOTOARDHI KUUNGANISHWA KWENYE GRIDI YA TAIFA IFIKAPO 2030 – MRAMBA

  • Francis Dande
  • March 14, 2025
  • 0

Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Mha. Felchesmi Mramba akizungumza wakati aliposhiriki Mkutano wa Kimataifa kuhusu matumizi ya Nishati endelevu unaofanyika katika jiji la Bridgetown nchini […]

DKT. BITEKO AWATAKA WANAWAKE KUWA MABALOZI WA NISHATI SAFI YA KUPIKIA
  • Habari
  • TEKNOLOJIA

DKT. BITEKO AWATAKA WANAWAKE KUWA MABALOZI WA NISHATI SAFI YA KUPIKIA

  • Francis Dande
  • March 5, 2025
  • 0

 Serikali kuwezesha Sera, Sheria kwa wawekezaji wa Nishati Safi ya kupikia  Ahamasisha matumizi ya Nishati ya Safi ya kupikia nchini Ampongeza Mkurugenzi Mtendaji TANESCO kwa […]

Posts navigation

Older posts
Copyright © 2025 HABARI MSETO Theme: Updated News By Adore Themes.
Sera za faragha Sheria ya huduma Kuhusu sisi Wasiliana nasi

© 2024 HABARIMSETO. Designed by MWINYIMKUU.