RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amekubali kuwa Mgeni Maalum wa Fainali ya pili ya Kombe la Shirikisho […]
UONGOZI wa Wekundu wa Msimbazi Simba SC, umetangaza rasmi kushindwa kwao kulishawishi Shirikisho la Soka Afrika (CAF), kubadili uamuzi wa kuipeleka Zanzibar fainali ya pili […]
Na Mwandishi Wetu RAHEL Pallangyo mwandishi wa michezo wa HabariLEO amechaguliwa kuwa Makamu wa Pili wa Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu kwa watu […]
MABINGWA Watetezi wa Kombe la Shirikisho la Tanzania (CRDB Bank Federation Cup), wametinga fainali ya michuano hiyo baada ya kuwazabua ‘Maafande wa Jeshi la Kujenga […]
WAUAJI wa Kusini Namungo FC, wamefia kwenye dimba la Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni ‘KMC Complex’ walikokubali kipigo cha mabao 3-0 walipoalikwa na vinara wasiokamatika’ […]
UONGOZI wa Klabu ya Yanga kwa kushirikiana na Taasisi ya GSM Foundation, leo Jumatatu Mei 12, wamekabidhi hundi ya mchango wa Shilingi Milioni 50 kwa […]
MSEMAJI Mkuu wa Serikali ya Tanzania, Gerson Msigwa, ameyatolea ufafanuzi madai ya Mwakilishi wa Tanzania wa Mashindano ya Dunia ya Watoto kwa mchezo wa Taekwondo […]
‘WEKUNDU wa Msimbazi’ Simba SC wameendelea kutakata katika Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara (NBC PL 2024/25), baada ya leo jioni kuwaadhibu ‘Walima Pamba’ wa […]
NA TULLO CHAMBO, RT UCHAGUZI Mkuu wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT), unatarajiwa kufanyika Juni mwaka ahuu.Kwa mujibu wa taarifa ya Kaimu Katibu Katibu Mkuu […]
WAKATI Uongozi wa Yanga ukisisitiza kutocheza mechi namba 184 dhidi ya Watani wao wa Jadi Simba SC, Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kupitia Bodi ya […]