NA DENIS MLOWE, IRINGA VIJANA nchini hususani wanavyuo wametakiwa kuwa mstari wa mbele katika kudumisha amani na utulivu na kutojihusisha na vitendo vya uvunjifu wa […]
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar Vyama vya Chadema na ACT Wazalendo vitaendelea kupoteza wanachama kutokana na vyama hivyo kukosa sera za kuwaeleza wanachama wao. Akizungumza na […]
TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), imetangaza kubadili majina ya Majimbo ya Uchaguzi 12, ambayo yatatumika katika Uchaguzi Mkuu wa Rais na Wabunge unaotarajia […]
TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), imeanzisha majimbo mapya nane nchini kote, ambapo jijini Dar es Salaam, majimbo mawili ya Chamazi na Kivule yameanzishwa […]
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar Wabunge, Wawakilishi na Madiwani wa CCM walichopanda kipindi wamepewa dhamana na chama na wananchi ndicho watakachovuna kuelekea uchaguzi mkuu Oktoba mwaka […]
Mwandishi Wetu, Zanzibar Chama Cha Mapinduzi kimesema kwa miaka yote kimepokea , kusikiliza na kutekeleza ushauri wa wazee, watu mbalimbali , viongozi wa dini na […]
Na Mwandishi Wetu, Tabora MKURUGENZI wa Tume Huru ya Uchaguzi, Ramadhani Kailima amewataka wananchi wa Mkoa wa Tabora kujitokeza kuhakiki na kuboresha taarifa zao katika […]
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele akitembelea na kukagua vituo vya uboreshaji wa Daftari la Kudumu la […]
Picha namba 00. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Chamwino mkoani […]
Na Mwandishi Maalum , Zanzibar Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema amani, usalama na utulivu wa Tanzania kwa miaka 61 , umetokana na misuli ya ulinzi […]