Skip to content

HABARI MSETO

Kwa Habari za Haraka na Uhakika kutoka vyanzo vyenye kuaminika.

  • facebook
  • instagram
  • youtube
  • HABARI KUU
  • SIASA
  • MICHEZO NA BURUDANI
  • BIASHARA
  • TEKNOLOJIA
  • AFYA
  • ELIMU
  • KIMATAIFA
  • WASILIANA NASI
Subscribe

Category: AFYA

  • Home
  • AFYA
Prof. Janabi azoa 69.5% ya kura WHO-Afrika
  • AFYA
  • Habari

Prof. Janabi azoa 69.5% ya kura WHO-Afrika

  • Francis Dande
  • May 18, 2025
  • 0

MKURUGENZI Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Prof. Mohammed Janabi, amechaguliwa kuwa Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Kanda ya Afrika, baada ya […]

Serikali ya Marekani yatoa takriban Dola Milioni Moja Kuimarisha Mapambano Dhidi ya Mpox Tanzania
  • AFYA
  • Habari

Serikali ya Marekani yatoa takriban Dola Milioni Moja Kuimarisha Mapambano Dhidi ya Mpox Tanzania

  • Francis Dande
  • April 29, 2025
  • 0

Tanzania – Serikali ya Marekani kupitia Kituo cha Kudhibiti Maradhi (CDC), imetangaza msaada wa karibu dola milioni moja kwa ajili ya kuimarisha ufuatiliaji na udhibiti […]

SERIKALI, BENKI YA DUNIA KUENDELEA KUSHIRIKIANA KUBORESHA SEKTA YA AFYA.
  • AFYA
  • Habari

SERIKALI, BENKI YA DUNIA KUENDELEA KUSHIRIKIANA KUBORESHA SEKTA YA AFYA.

  • Francis Dande
  • April 19, 2025
  • 0

Na WAF Dodoma Waziri wa Afya Mhe. Jenista Mhagama amekutana na kufanya kikao na Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Dunia Kanda ya Afrika Bw. Daniel […]

RAIS MSTAAFU DKT. KIKWETE AWASILISHA SALAMU ZA RAIS SAMIA KWA KEPTENI IBRAHIM TRAORE
  • AFYA
  • Habari

RAIS MSTAAFU DKT. KIKWETE AWASILISHA SALAMU ZA RAIS SAMIA KWA KEPTENI IBRAHIM TRAORE

  • Francis Dande
  • April 18, 2025
  • 0

Rais Mstsaafu wa Awamu ya Nne na Mjumbe Maalum wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete amewasilisha Ujumbe Maalum kutoka kwa Rais […]

JWTZ LASAIDIA HUDUMA TIBA NA AFYA JAMHURI YA AFRIKA YA KATI
  • AFYA
  • Habari

JWTZ LASAIDIA HUDUMA TIBA NA AFYA JAMHURI YA AFRIKA YA KATI

  • Francis Dande
  • April 14, 2025
  • 0

Na Mwandishi Wetu Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania limechangia huduma tiba na afya kwenye hospitali ya Jiji la Berberati iliyoko nchini Jamhuri ya […]

KIWANDA CHA HESTER BIOSCIENCES CHAWA MKOMBOZI MKUBWA KWA WAFUGAJI WA MKOA WA PWANI
  • AFYA
  • Habari

KIWANDA CHA HESTER BIOSCIENCES CHAWA MKOMBOZI MKUBWA KWA WAFUGAJI WA MKOA WA PWANI

  • Francis Dande
  • March 27, 2025
  • 0

NA VICTOR MASANGU, KIBAHA Serikali ya awamu ya sita kupitia wizara yake ya mifugo na uvuzi imeanza kutekeleza azma yake ya mpango wa kuwasaidia wafugaji […]

MAJALIWA AAGIZA: SERIKALI INATOA FEDHA, SIMAMIENI MANUNUZI YA DAWA
  • AFYA
  • Habari

MAJALIWA AAGIZA: SERIKALI INATOA FEDHA, SIMAMIENI MANUNUZI YA DAWA

  • Francis Dande
  • March 27, 2025
  • 0

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewaagiza Waganga Wakuu wa Mikoa na Wilaya wasimamie vema fedha za ununuzi wa dawa zinazotolewa na Serikali na kuhakikisha zahanati na […]

BALOZI NCHIMBI ACHANGISHA SH. 950 MILIONI KWA MATIBABU YA WAGONJWA WA MGUU KIFUNDO
  • AFYA
  • Habari

BALOZI NCHIMBI ACHANGISHA SH. 950 MILIONI KWA MATIBABU YA WAGONJWA WA MGUU KIFUNDO

  • Francis Dande
  • March 16, 2025
  • 0

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, amefanikisha uchangishaji wa shilingi milioni 950 kwa ajili ya matibabu ya watoto wapatao […]

TRA PWANI YATEKELEZA MAAGIZO YA SERIKALI YATUMIA ML.15 KUNUNUA MISAADA KUSAPOTI ELIMU NA AFYA
  • AFYA
  • Habari

TRA PWANI YATEKELEZA MAAGIZO YA SERIKALI YATUMIA ML.15 KUNUNUA MISAADA KUSAPOTI ELIMU NA AFYA

  • Francis Dande
  • February 19, 2025
  • 0

NA VICTOR MASANGU, PWANI Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Pwani imetumia kiasi cha shilingi milioni 15 kwa ajili ya kununua vifaa na mahitaji […]

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE TAMISEMI YAKOSHWA NA MIRADI YA MAENDELEO KIBAHA MJI
  • AFYA
  • Habari

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE TAMISEMI YAKOSHWA NA MIRADI YA MAENDELEO KIBAHA MJI

  • Francis Dande
  • February 9, 2025
  • 0

NA VICTOR MASANGU, KIBAHA Kamati ya kudumu ya bunge ya Tamisemi imesema kwamba imeridhishwa kwa kiasi kikubwa na miradi ya maendeleo katika sekta ya afya […]

Posts navigation

Older posts
Copyright © 2025 HABARI MSETO Theme: Updated News By Adore Themes.
Sera za faragha Sheria ya huduma Kuhusu sisi Wasiliana nasi

© 2024 HABARIMSETO. Designed by MWINYIMKUU.