MWAMBA AKUTANA NA WATAALAM KUTOKA SHIRIKA LA FEDHA LA KIMATAIFA-IMF

Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) (wakwanza kulia) Bw. Emmanuel Tutuba, akiteta jambo na kiongozi wa Msafara wa Timu ya Wataalam  wa Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF), Bwana Charalambos Tsangarides (wakwanza kushoto) na Mwakilishi Mkazi  wa IMF, Bw. Sebastian Acevedo, mara baada ya kikao chao na Wizara ya Fedha Jijini Dodoma.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *